Mashabiki wa Tanzania wakifurahia jana wakati wa mchezo wa Kundi L kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2019 nchini Cameroon dhidi ya Cape Verde jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Tanzania ilishinda 2-0.
Mashabiki wa Taifa Stars walikuwa wenye furaha kubwa jana Uwanja wa Taifa
Binti huyu akionyesha uzalendo wake jukwaani jana
Mashabiki wakifuatili mchezo kati ya Taifa Stars na Papa wa Bluu kwa hisia tofauti
Mashabiki wakifuatili mchezo kati ya Taifa Stars na Papa wa Bluu kwa hisia tofauti
Mashabiki hawa wa kigeni wakifuatilia mchezo huo jana
Mashabiki wengine wakiwa katika mavazi ya kizalendo
Hapa ni shangwe baada ya filimbi ya mwisho
Dani Alves is told he would be 'KILLED' in Brazil as he is heckled and
jeered after being spotted in Barcelona following court hearing as
disgraced star appeals conviction for rape
-
The former Barcelona player was released from Brians 2 prison on Monday
after 15 months spent behind bars awaiting his trial for raping a woman in
December...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment