• HABARI MPYA

    Thursday, October 18, 2018

    MOURINHO AREJEA KUIANDAA MAN UNITED KUIVAA CHELSEA J'MOSI

    Kocha Jose Mourinho akipunga mkono kusalimia wakati anawasili kwenye hoteli ya Lowry mjini Manchester baada ya mapumziko ya kupisha mechi za kimataifa kuelekea mechi na Chelsea Jumamosi Uwanja wa Stamford Bridge mjini London 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOURINHO AREJEA KUIANDAA MAN UNITED KUIVAA CHELSEA J'MOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top