Wachezaji wa Bayern Munich, Niklas Suele, Javi Martinez na Joshua Kimmich wakiondoka kinyonge Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Ajax katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana. Mats Hummels alianza kuwafungia wenyeji dakika ya nne kabla ya Noussair Mazraoui kuwasawazishia dakika ya 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raiders Trade Rumors: Penix Jr., Spencer Rattler Linked Despite 'Love' for
Daniels
-
The Las Vegas Raiders "would love" to draft Jayden Daniels, but the LSU
quarterback may be out of their reach if the Washington Commanders select
him with…
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment