Wachezaji wa Bayern Munich, Niklas Suele, Javi Martinez na Joshua Kimmich wakiondoka kinyonge Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Ajax katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana. Mats Hummels alianza kuwafungia wenyeji dakika ya nne kabla ya Noussair Mazraoui kuwasawazishia dakika ya 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL fans smell a rat as Green Bay Packers' heaters cut out in 24-degree
weather vs Chicago Bears
-
Temperatures dropped down to 24 degrees as the game kicked off on Saturday
night, with winds quickly picking up in Chicago as the game progressed.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment