Lionel Messi akimchambua kipa wa Eibar kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 50 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Ipura. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Denis Suarez dakika ya 31, Luis Suarez dakika ya 68 na Neymar Junior dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League icon looks unrecognisable in this throwback snap... so can
you figure out who the former star, who has been back in the headlines this
week, is?
-
The former midfielder, who enjoyed plenty of success in their career, will
welcome his third child later this year - 18 years after the last - after
it was...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment