Diego Costa akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Hull City usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Gary Cahill dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Monday, January 23, 2017
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



.png)
0 comments:
Post a Comment