Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akienda chini baada ya kukwatuliwa na kipa wa Celta Vigo, Sergio Alvarez na beki Muargentina, Facundo Roncaglia katika mchezo wa Robo Faainali ya Kombe la Mfalme usiku wa Jumatano Uwanja wa Balaidos timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real yalifungwa na Ronaldo dakika ya 62 na Lucas Vazquez Iglesias dakika ya 90, wakati ya Celta Vigo yalifungwa na Danilo Luiz da Silva aliyejifunga dakika ya 44 na Daniel Wass (85). Real inatolewa kwa jumla ya mabao 4-3 baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI NGONGA HAPA
Named: The Premier League team most likely to MISS OUT on Champions League
qualification as Opta supercomputer makes prediction after top-five battle
took another huge twist
-
Chelsea were the only one of the main contenders to win in the latest
midweek round of matches after beating rivals Aston Villa as Manchester
United and Li...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment