Bastian Schweinsteiger (kulia) akishangilia na wenzake akiwemo Nahodha, Wayne Rooney (kushoto) baada ya kuifungia Manchester United bao la nne dakika ya 81 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Wigan kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Marouane Fellaini dakika ya 44, Chris Smalling dakika ya 57 na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2024 NFL Mock Draft: Day 2 Predictions from Bleacher Report
-
Offense ruled the opening day of the 2024 NFL draft. The first round saw a
record-setting 23 offensive players come off the board in the first 32
picks. Much…
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment