Pedro akijiachia juu kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 21 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Brentford Blues katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Willian dakika ya 14, Branislav Ivanovic dakika ya 69 na Michy Batshuayi kwa penalti dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Son of one of footy's greatest players is accused of white-anting Tigers
coach Benji Marshall as club boss explodes: 'It's just bulls**it on every
level'
-
Tigers boss Shane Richardson has slammed rumours about Marshall as
'bulls**t' after former recruitment manager Scott Fulton allegedly fed
criticisms about ...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment