• HABARI MPYA

    Saturday, January 28, 2017

    ARSENAL YAFANYA MAUWAJI KOMBE LA FA, YAWAPIGA 5-0 SOUTHAMPTON

    Danny Welbeck akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 15 na 22 katika ushindi wa 5-0 wa Arsenal dhidi ya wenyeji Southampton leo Uwanja wa  St Mary's kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Komb la FA England. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Theo  Walcott dakika za 35, 69 na 84  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAFANYA MAUWAJI KOMBE LA FA, YAWAPIGA 5-0 SOUTHAMPTON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top