• HABARI MPYA

    Thursday, January 26, 2017

    PSG YAIPOKONYA TONGE MDOMONI MAN UNITED

    Winga hatari Goncalo Guedes akiwa ameshika jezi ya klabu ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa baada ya kukamilisha usajili wake wa Pauni Milioni 21 akisaini mkataba wa miaka minne na nusu kutoka Benfica ya kwao, Ureno. Mchezaji huyo alikuwa anatakiwa pia na Manchester United PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PSG YAIPOKONYA TONGE MDOMONI MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top