Winga hatari Goncalo Guedes akiwa ameshika jezi ya klabu ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa baada ya kukamilisha usajili wake wa Pauni Milioni 21 akisaini mkataba wa miaka minne na nusu kutoka Benfica ya kwao, Ureno. Mchezaji huyo alikuwa anatakiwa pia na Manchester United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Named: The Premier League team most likely to MISS OUT on Champions League
qualification as Opta supercomputer makes prediction after top-five battle
took another huge twist
-
Chelsea were the only one of the main contenders to win in the latest
midweek round of matches after beating rivals Aston Villa as Manchester
United and Li...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment