Andreas Weimann akimzunguka kipa Loris Karius kuifungia bao la pili Wolves dakika ya 41 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Raundi ya nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Anfield. Bao la kwanza la Wolves lilifungwa na Richard Stearman dakika ya kwanza, wakati la Liverpool lilifungwa na Divock Origi dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment