• HABARI MPYA

    Saturday, January 28, 2017

    LIVERPOOL YACHAPWA 2-1 NA KUTOLEWA KOMBE LA FA

    Andreas Weimann akimzunguka kipa Loris Karius kuifungia bao la pili Wolves dakika ya 41 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Raundi ya nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Anfield. Bao la kwanza la Wolves lilifungwa na Richard Stearman dakika ya kwanza, wakati la Liverpool lilifungwa na Divock Origi dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YACHAPWA 2-1 NA KUTOLEWA KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top