• HABARI MPYA

    Sunday, January 29, 2017

    AZAM NA SIMBA KATIKA PICHA JANA

    Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (kushoto) akijaribu kumpita beki wa Azam FC, Yakubu Mohammed katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Azam ilishinda 1-0
    Kiungo wa Simba, Jamal Mnyate akipasua katikati ya 

    Mshambuliaji wa Azam, John Bocco (kulia) akikimbilia mpira dhidi ya beki wa Simba, Method Mwanjali 

    John Bocco akifumua shuti mbele ya beki wa Simba, Method Mwanjali

    Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Azam, Erasto Nyoni

    Viungo Jonas Mkude wa Simba (kushoto) na Frank Domayo wa Azam (kulia) wakigombea mpira   

    Beki wa Azam, Yakubu Mohammed akiutelezea mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Juma Luizio

    Beki wa Simba, Janvier Bokungu aakipiga kichwa mbele ya kiungo wa Azam, Joseph Mahundi

    Kikosi cha Simba jana

    Kikosi cha Azam jana

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM NA SIMBA KATIKA PICHA JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top