Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 71na Yaya Toure dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tributes pour in after NFL hopeful AJ Simon tragically dies aged 25... as
fellow draft prospect Jared Verse reveals he spoke to late former teammate
shortly before passing: 'Rest easy big man!'
-
More tributes honoring late NFL Draft prospect Amitral 'AJ' Simon have
poured out on social media on Thursday.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment