Mshambuliaji wa Simba SC, Hamisi Kiiza (kulia) akifumua shuti pembeni ya mabeki wa Mgambo JKT jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara |
Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajib (kushoto) akimtoka beki wa Mgambo |
Hamisi Kiiza (kushoto) akipambana na beki wa Mgambo kulia |
Beki wa Simba SC, Hassan Kessy (kushoto) akiwania mpitra wa juu dhidi ya mchezaji wa Mgambo |
Mshambuliaji kinda wa Simba SC, Hajji Ugando (kulia) akiwa mawindoni kwenye lango la Mgambo |
0 comments:
Post a Comment