Kipa wa Simba SC, Athumani Mambosasa (marehemu) akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga SC, Kitwana Manara katika fainali ya Klabu Bingwa ya Taifa Agosti 10 mwaka 1974 Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza. Yanga SC ilishinda 2-1, mabao ya Gibson Sembuli (marehemu) na Sunday Manara, huku bao pekee la Simba SC likifungwa na Adam Sabu (marehemu). Inaaminika Mambosasa ndiye kipa bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania hadi sasa.
NFL Trade Rumors: A.J. Brown Interests Patriots; Eagles Declined Inquiry
into WR
-
Philadelphia Eagles wide receiver A.J. Brown recently changed his Instagram
profile picture to a photo of Tom Brady, raising questions about whether
he's…
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment