Kipa wa Simba SC, Athumani Mambosasa (marehemu) akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga SC, Kitwana Manara katika fainali ya Klabu Bingwa ya Taifa Agosti 10 mwaka 1974 Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza. Yanga SC ilishinda 2-1, mabao ya Gibson Sembuli (marehemu) na Sunday Manara, huku bao pekee la Simba SC likifungwa na Adam Sabu (marehemu). Inaaminika Mambosasa ndiye kipa bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania hadi sasa.
Michael Maguire's passion project ahead of NRL premiership defence with the
Broncos - 'he is one of the best minds in Australian sport'
-
Michael Maguire has revealed his passion project as the premiership-winning
coach looks to take the Broncos to back-to-back NRL titles in 2026.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment