Beki wa zamani wa Arsenal, Thomas Vermaelen wa Barcelona (kushoto) akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Santi Mina wa Valencia katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme usiku huu Uwanja wa Mestalla. Timu hizo zimetoka 1-1, bao la Valencia likifungwa na Alvaro Negredo daki ka ya 39, kabla ya Wilfrid Kaptoum kuisawazishia Barca zikiwa zimebaki dakika tano, Barca imetinga fainali ya Copa del Rey kwa ushindi wa jumla wa 8-1 baada ya awali kushinda 7-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville reveals why he WON'T be at Nottingham Forest's clash with Man
City this weekend amid Sky row, as he accuses Mark Clattenburg of acting
'like a Navy Seal' and giving the team an excuse NOT to win
-
Gary Neville (right) has revealed he will not be covering Nottingham Forest
's Premier League clash with title-chasing Man City on Sunday amid the
club's r...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment