Beki wa zamani wa Arsenal, Thomas Vermaelen wa Barcelona (kushoto) akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Santi Mina wa Valencia katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme usiku huu Uwanja wa Mestalla. Timu hizo zimetoka 1-1, bao la Valencia likifungwa na Alvaro Negredo daki ka ya 39, kabla ya Wilfrid Kaptoum kuisawazishia Barca zikiwa zimebaki dakika tano, Barca imetinga fainali ya Copa del Rey kwa ushindi wa jumla wa 8-1 baada ya awali kushinda 7-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hearts thriving in the glorious anarchy of it all as Celtic lurch from one
disaster to another and Rangers try to cling on until January
-
Whatever transpires over the course of this afternoon, Hearts are
guaranteed to be sitting pretty at the top of the Scottish Premiership at
Christmas.
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment