Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akiifungia bao la pili timu hiyo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Real Sociedad katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Camo Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Neymar mawili na Messi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment