Nahodha wa Sweden, Zlatan Ibrahimovic akiifungia timu yake bao la pili kwa mpira wa adhabu katika sare ya 2-2 na wenyeji Denmark leo. Ibrahimovic amefunga mabao yote ya Sweden ambayo imeshinda kwa jumla ya 4-3 baada ya ushindi wa 2-1 awali hivyo kufuzu Euro 2016 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vince McMahon Sells Final TKO Shares for $776M+ to End WWE Ties After 50+
Years
-
WWE co-founder Vince McMahon is ending his association with the promotion
after 55 years with the sale of his 8.02 million TKO Group Holdings shares,
which…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment