• HABARI MPYA

    Saturday, November 28, 2015

    ROBO FAINALI NI STARS NA ETHIOPIA TENA, RWANDA NA KENYA, SUDAN KUSINI NA SUDAN, UGANDA NA MALAWI

    RATIBA ROBO FAINALI KOMBE LA KAGAME 2015
    Novemba 30, 2015 
    Uganda Vs Malawi
    Tanzania Bara Vs Ethiopia
    Desemba 1, 2015
    Sudan Kusini Vs Sudan
    Rwanda Vs Kenya
    Malawi itamenyana na mabingwa wa kihistoria wa Challenge, Uganda katika Robo Fainali ya kwanza Jumatatu
    MABINGWA watetezi, Kenya watamenyana na Rwanda katika Robo Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge wakati Tanzania Bara itamenyana tena na Ethiopia.
    Mabingwa wa kihistoria Uganda watacheza na Malawi wakati Sudan Kusini itamenyana na Sudan.
    Robo Fainali za kwanza zitachezwa Jumatatu kati ya Uganda Vs Malawi na Tanzania Bara Vs Ethiopia, wakati Jumanne Sudan Kusini itamenyana na Sudan na Rwanda Vs Kenya.
    Mechi za makundi zimehitimishwa leo, Tanzania Bara ikitoka sare ya 1-1 na wenyeji na Ethiopia, wakati Uganfa imeshinda 1-0 dhidi ya Burundi. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ROBO FAINALI NI STARS NA ETHIOPIA TENA, RWANDA NA KENYA, SUDAN KUSINI NA SUDAN, UGANDA NA MALAWI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top