Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake Raheem Sterling (katikati) na Sergio Aguero baada ya kuifungia Manchester City katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad jioni ya leo mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Fabian Delph na Aleksandar Kolarov, wakati la Southampton limefungwa na Shane Long. City inarejea kileleni mwa Ligi Kuu, ingawa inaweza kushuka baada ya mchezo kati ya Leicester City na Manchester United unaoendelea sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kobbie Mainoo to STAY at Man United after being restored to the first team
by Michael Carrick - despite pushing to leave for European giant under
Ruben Amorim
-
SIMON JONES: The 20-year-old was pushing to leave for Napoli on loan after
being restricted to substitute appearances under Ruben Amorim.
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment