Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake Raheem Sterling (katikati) na Sergio Aguero baada ya kuifungia Manchester City katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad jioni ya leo mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Fabian Delph na Aleksandar Kolarov, wakati la Southampton limefungwa na Shane Long. City inarejea kileleni mwa Ligi Kuu, ingawa inaweza kushuka baada ya mchezo kati ya Leicester City na Manchester United unaoendelea sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Young Chelsea fan holds up brutal sign telling Mauricio Pochettino's flops
he 'DOESN'T want their shirts' during 5-0 Arsenal drubbing, before captain
Conor Gallagher responds to it at full-time
-
A young Chelsea fan delivered a damning assessment of their players by
holding up a sign telling them that he doesn't want their shirt.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment