• HABARI MPYA

    Saturday, November 21, 2015

    LIVERPOOL YAIFANYA 'KITU MBAYA' MAN CITY, YAITANDIKA 4-1 ETIHAD

    Wabrazil Philippe Coutinho na Roberto Firmino wakishangilia baada ya wote kufunga mabao katika ushindi wa 4-1 wa Liverpool dhidi ya wenyeji Manchester City Uwanja wa Etihad usiku huu. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Eliaquim Mangala aliyejifunga na Martin Skrtel, wakati bao la kufutia machozi la City limefungwa na Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAIFANYA 'KITU MBAYA' MAN CITY, YAITANDIKA 4-1 ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top