Wabrazil Philippe Coutinho na Roberto Firmino wakishangilia baada ya wote kufunga mabao katika ushindi wa 4-1 wa Liverpool dhidi ya wenyeji Manchester City Uwanja wa Etihad usiku huu. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Eliaquim Mangala aliyejifunga na Martin Skrtel, wakati bao la kufutia machozi la City limefungwa na Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment