Wabrazil Philippe Coutinho na Roberto Firmino wakishangilia baada ya wote kufunga mabao katika ushindi wa 4-1 wa Liverpool dhidi ya wenyeji Manchester City Uwanja wa Etihad usiku huu. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Eliaquim Mangala aliyejifunga na Martin Skrtel, wakati bao la kufutia machozi la City limefungwa na Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Care to play for the Barbarians at Twickenham
-
Former England scrum-half Danny Care will make his Barbarians debut against
Fiji at Twickenham in June.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment