• HABARI MPYA

    Wednesday, November 25, 2015

    SIMBA SC WANAVYOJIANDAA KWA AJILI YA AZAM FC MWEZI UJAO

    Nahodha wa Simba SC, Mussa Hassan Mgosi akikimbia katika mazoezi ya timu hiyo jana Uwanja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kujiadaa na mchezo dhidi ya Azam FC Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Desemba 12, mwaka huu. 
    Brian Majwega kulia akikimbia huku kocha Dylan Kerr akimtazama
    Danny Lyanga akikimbia mbele ya wenzake jana Chuo Kikuu
    Peter Mwalyanzi akikimbia mbele ya wenzake katika mazoezi ya jana jioni
    Joseph Kimwaga akitimua mbio mbele ya Mwinyi Kazimoto jana UDSM

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC WANAVYOJIANDAA KWA AJILI YA AZAM FC MWEZI UJAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top