• HABARI MPYA

    Wednesday, November 18, 2015

    ENGLAND YAICHAPA 2-0 UFARANSA KIRAFIKI WEMBLEY

    Kiungo wa Ufaransa, Cabaye akimruka kipa wa England, Joe Hart katika mchezo wa kirafiki wa kiataifa usiku wa leo Uwanja wa Wembley. England imeshinda 2-0, mabao ya Dele Alli na Wayne Rooney PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ENGLAND YAICHAPA 2-0 UFARANSA KIRAFIKI WEMBLEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top