• HABARI MPYA

    Saturday, July 12, 2014

    DEMU WA SANCHEZ NAYE AJIUNGA NA ARSENAL

    IJUMAA ilikuwa siku nzuri kwa Arsenal, ikipata mchezaji mpya, Alexis Sanchez, na zaidi mchumba wa mchezaji huyo Laia Grassi ameingia kwenye orodha ya Wake na Wapenzi wa Wachezaji (WAG) wapenzi wa timu hiyo.
    Mspanyola Grassi amedhihirisha mapenzi yake kwa The Gunners baada ya kuposti picha yake kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na jezi ya Arsenal.
    Jezi: Mpenzi wa Sanchez, Laia Grassi ameposti hii picha baada ya nyota huyo wa Chile kutua Arsenal
    Couple: New signing Sanchez poses for a photo with Spaniard Grassi
    Wapenzi: Mchezaji mpya wa Arsenal, Sanchez akiwa na mpenzi wake Grassi pichani

    Ameandika: "Mimi ni Gunner, kwa Arsene Wenger kutoa Pauni Milioni 30 kumnunua nyota wa Chile kutoka Barcelona.
    Sanchez atakuwa anahudhuria la kujifunza Kiingerea kwa wiki mjini London, kabla ya kuanza maisha ya mchezaji anayelipwa zaidi Arsenal. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 hawezi kuzungumza Kiingereza.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DEMU WA SANCHEZ NAYE AJIUNGA NA ARSENAL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top