![]() |
| Winga wa Taifa Stars, Simon Msuva akiwatoka wachezaji wa Zimbabwe |
![]() |
| Kiungo wa Taifa Stars, Amri Kiemba akimtoka mchezaji wa Zimbabse |
![]() |
| Kiungo wa Taifa Stars, Frank Domayo akiambaa na mpira |
![]() |
| Thomas Ulimwengu akiwa ameanguka chini baada ya kuchezewa rafu na beki wa Zimbabwe |
![]() |
| John Bocco akipambana na mchezaji wa Zimbabwe |
![]() |
| Beki Oscar Joshua akimdhibiti mchezaji wa Zimbabwe, huku Frank Domayo kushoto akiwa tayari kutoa msaada |
![]() |
| Beki wa Zimbabwe akiwa ameruka juu ya John Bocco kuondosha mpira kwenye himaya ya mshambuliaji huyo wa Taifa Stars |
![]() |
| John Bocco akiwa amebebwa kwenye machela kutolewa nje baada ya kuumia. Hata hivyo, Bocco alirudi kuendelea na mchezo hadi akamaliza |
![]() |
| Vikosi vya Zimbabwe na Tanzania vikiingia uwanjani |
![]() |
| Mashabiki waliosafiri kutoka Dar es Salaam na wengine wakazi wa Harare waliojitokeza kuisapoti Taifa Stars jana |













.png)
0 comments:
Post a Comment