• HABARI MPYA

    Friday, August 14, 2020

    WILLIAN AJIUNGA NA ARSENAL KWA MKATABA WA MIAKA MITATU

    Winga Mbrazil, Willian akiwa ameshika jezi ya Arsenal baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu kama mchezaji huru kufuatia kumaliza mkataba wake Chelsea na atakuwa analipwa mshahara wa Pauni 220,000.
    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 ameondoka Chelsea baada ya kuitumikia kwa miaka sabana amekabidhiwa jezi namba 12 The Gunners 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WILLIAN AJIUNGA NA ARSENAL KWA MKATABA WA MIAKA MITATU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top