Mshambuliaji Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la tatu dakika ya 39 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Reading kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London leo akitimiza miaka mitano tangu ajiunge na klabu hiyo. Nyota huyo wa Korea Kusini alijiunga na Spurs tarehe na mwezi kama wa leo mwaka 2015 kutoka Bayer Leverkusen. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Omar Richards aliyejifunga dakika ya saba, Dele Alli dakika ya 21, Erik Lamela dakika ya 52, wakati la Reading limefungwa na George Puscas kwa penalti dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment