• HABARI MPYA

    Friday, August 14, 2020

    TRENT ALEXANDER-ARNOLD MWANASOKA BORA CHIPUKIZI ENGLAND

    Trent Alexander-Arnold ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi Ligi Kuu ya Englandm 

    ALIOWASHINDA  ALEXANDER-ARNOLD

    Jack Grealish (Miaka 24) - Aston Villa
    Mason Greenwood (Miaka 18) - Manchester United
    Dean Henderson (Miaka 23) - Sheffield United
    Anthony Martial (Miaka 24) - Manchester United
    Mason Mount (Miaka 21) - Chelsea
    Christian Pulisic (Miaka 21) - Chelsea
    Marcus Rashford (Miaka22) - Manchester United 
    KINDA wa Liverpool, Trent Alexander-Arnold ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi Ligi Kuu ya England.
    Washambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford, Mason Greenwood na Anthony Martial wote waliingia katika orodha ya wachezaji wanane wa mwisho, lakini wameangushwa na Alexander-Arnold. 
    Alexander-Arnold amekuwa beki tegemeo wa pembeni kwenye kikosi cha kocha Mjerumani, Jurgen Klopp akitoa mchango mzuri kwenye ubingwa, kwani licha ya kulinda vizuri, ametoa pasi 13 za mabao. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TRENT ALEXANDER-ARNOLD MWANASOKA BORA CHIPUKIZI ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top