Kiungo mshambuliaji, Haroun Othman Chanongo akishangilia baada ya kuifungia Mtibwa Sugar bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza Dodoma Jiji FC 3-2 katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa CCM Gairo, Morogoro jioni ya leo. Mabao mengine ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Dickson Job dakika ya 42 na Boban Zilntusa dakika ya 67 kwa penalti, wakati ya Dodoma FC yalifungwa na Anuary Jabir dakika ya 15 na Dickson Ambundo dakika ya 25
Crystal Palace winger Wilfried Zaha may finally leave this summer - but where will he go?
-
The Wilfried Zaha transfer saga has spluttered back into life after the
Crystal Palace talisman admitted to his desire to 'play at the highest
level'. Spor...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment