GEITA GOLD YAMCHUKUA KOCHA FREDDY FELIX MINZIRO AWASAIDIE KUPANDA LIGI KUU MSIMU UJAO
KLABU ya Geita Gold FC leo imemtangaza rasmi Freddy Felix Minziro (kushoto) kuwa Kocha wake mpya atakayeiongoza timu hiyo katika jaribio lingine tena la kupanda Ligi Kuu ya Tanzana Bara msimu ujao kwa mkataba wa mwaka mmoja
0 comments:
Post a Comment