MCHEZAJI BORA CHIPUKIZI LIGI KUU, NOVATUS DISSMAS AONGEZA MKATABA AZAM FC HADI 2023
Mchezaji Bora Chipukizi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu uliopita, Novatus Dissmas akiwa na Biashara United alipokuwa anacheza kwa mkopo ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuwa mali ya Azam FC hadi mwaka 2023
0 comments:
Post a Comment