YACOUBA SOGNE AKABIDHIWA JEZI NAMBA 10 BAADA YA KUKAMILISHA UHAMISHO WAKE YANGA SC
Mshambuliaji wa kimataifa wa Burkina Faso, Yacouba Sogne akiwa ameshka jezi namba 10 baada ya kukabidhiwa leo kufuatia kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na Yanga SC Asante Kotoko ya Ghana
0 comments:
Post a Comment