WACHEZAJI wa Simba SC kutoka kulia kiungo mshambuliaji Bakari Iddi, beki Fikiri Magoso na mshambuliaji Gabriel ‘Gebo’ Peter Magali (sasa marehemu) kabla ya moja ya mechi zao za Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1992 Uwanja wa Amaan, Zanzibar, msimu ambao Wekundu hao wa Msimbazi walibeba taji hilo baada ya kuwafunga watani, Yanga kwa penalti kwenye fainali.
Dana White: Khabib Will Wait for McGregor vs. Poirier to Decide on UFC Comeback
-
UFC President Dana White said Saturday that Khabib Nurmagomedov did not
rule out a return to the Octagon during their meeting in Abu Dhabi on
Friday. Per...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment