• HABARI MPYA

    Sunday, May 10, 2020

    MZEE KIKWETE ALISHUHUDIA TAIFA STARS IKIPIGWA 5-0 NA HARAMBEE

    WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (baadaye Rais), akisalimiana na winga wa Taifa Stars, Said Maulid Kalikula ‘SMG’ kabla ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya Mei 18, mwaka 2002 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Harambee Stars ilishinda 5-0 na wengine kutoka kulia ni beki John Mwansasu na kiungo Shekhan Rashid wakati kushoto ni kiungo Shaaban Ramadhani na mshambuliaji Nteze John.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MZEE KIKWETE ALISHUHUDIA TAIFA STARS IKIPIGWA 5-0 NA HARAMBEE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top