Joshua Kimmich akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao pekee dakika ya 43 ikiwalaza wenyeji, Borussia Dortmund 1-0 kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park Jijini Dortmund jana. Ushindi huo unawafanya Bayern Munich waongoze Bundesliga kwa pointi saba zaidi ya Dortmund zikiwa zimesala mechi sita hivyo kukaribia kutwaa taji la nane mfululizo la ligi hiyo
Darius Garland, Collin Sexton out for Cavaliers vs. Pelicans with Injuries
-
The Cleveland Cavaliers will be missing some firepower for Sunday's game
against the New Orleans Pelicans ...
2 minutes ago
0 comments:
Post a Comment