Joshua Kimmich akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao pekee dakika ya 43 ikiwalaza wenyeji, Borussia Dortmund 1-0 kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park Jijini Dortmund jana. Ushindi huo unawafanya Bayern Munich waongoze Bundesliga kwa pointi saba zaidi ya Dortmund zikiwa zimesala mechi sita hivyo kukaribia kutwaa taji la nane mfululizo la ligi hiyo
Premier League to investigate Robert Snodgrass' move from West Ham to West Brom
-
Both teams faced off inside the London stadium during midweek Premier
League action, in a match in which Snodgrass was not selected by West Brom
who went o...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment