Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia ushindi wao wa 5-2 dhidi ya Frankfurt katika mchezo wa Bundesliga, mabao ya Leon Goretzka dakika ya 17, Thomas Muller dakika ya 41, Robert Lewandowski dakika ya 46, Alphonso Davies dakika ya 61 na Martin Hinteregger aliyejifunga dakika ya 74 ambaye pia alifunga mabao yote ya timu yake dakika za 52 na 55. Kwa ushindi huo, Bayern Munich inaendelea kuongoza Bundesliga kwa pointi nne zaidi ya Borussia Dortmund (61-57) baada ya tmu zote kucheza mechi 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves: Pedro Neto to MISS Euro 2020 as he prepares for knee surgery
-
Pedro Neto suffered a 'significant injury' to his knee cap in the 1-0 win
at Fulham last Friday night that means he will not play again until the
initial p...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment