• HABARI MPYA

    Saturday, May 23, 2020

    HARUNA NIYONZIMA WA YANGA, AKIWA MAZOEZINI NA BEKI WA TIMU YA WANAWAKE YA SIMBA SC UFUKWENI MWA BAHARI YA HINDI

    Kiungo wa timu ya wanaume ya Yanga SC, Mnyarwanda Haruna Niyonzima akiwa na beki wa timu ya wanawake ya Simba SC, Fatuma Issa 'Densa' mazoezini ufukweni mwa Bahari ya Hindi, Dar es Salaam kipindi hiki klabu zao zimesitisha mazoezi ya vikosi vyake baada ya zuio la Serikali kufuatia mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HARUNA NIYONZIMA WA YANGA, AKIWA MAZOEZINI NA BEKI WA TIMU YA WANAWAKE YA SIMBA SC UFUKWENI MWA BAHARI YA HINDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top