• HABARI MPYA

    Saturday, May 09, 2020

    JUMA ABDUL WA YANGA SC NA MOHAMED 'MO' IBRAHIM WA SIMBA SC WAKIJIFUA PAMOJA DAR KUJIWEKA FITI WAKIISIKILIZIA LIGI

    Wachezaji wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, beki wa Yanga, Juma Abdul (kulia) na kiungo wa Simba SC, Mohamed Ibrahim 'Mo' (kushoto) anayecheza kwa mkopo Namungo FC wakifanya mazoezi Uwanja wa Mwalimu Nyerere, Magomeni Kagera, Dar es Salaam kipindi hiki ligi hiyo imesimama kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JUMA ABDUL WA YANGA SC NA MOHAMED 'MO' IBRAHIM WA SIMBA SC WAKIJIFUA PAMOJA DAR KUJIWEKA FITI WAKIISIKILIZIA LIGI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top