Wachezaji wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, beki wa Yanga, Juma Abdul (kulia) na kiungo wa Simba SC, Mohamed Ibrahim 'Mo' (kushoto) anayecheza kwa mkopo Namungo FC wakifanya mazoezi Uwanja wa Mwalimu Nyerere, Magomeni Kagera, Dar es Salaam kipindi hiki ligi hiyo imesimama kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Keepers: We need to respect Coventry
-
Two of our stoppers are clear on what United's mindset should be at Wembley
on Sunday.
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment