Wachezaji wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, beki wa Yanga, Juma Abdul (kulia) na kiungo wa Simba SC, Mohamed Ibrahim 'Mo' (kushoto) anayecheza kwa mkopo Namungo FC wakifanya mazoezi Uwanja wa Mwalimu Nyerere, Magomeni Kagera, Dar es Salaam kipindi hiki ligi hiyo imesimama kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment