• HABARI MPYA

    Thursday, July 04, 2019

    TOURE ASAINI MKATABA WA MWAKA NA TIMU YA DARAJA LA PILI CHINA

    Mwanasoka Bora wa zamani Afrika, Yaya Toure akikabidhiwa jezi ya Qingdao Huanghai ya Daraja la Pili China baada ya kusaini mkataba kujiunga nayo jana baada ya kuachana na Olympiacos ya Ugiriki Desemba mwaka jana 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TOURE ASAINI MKATABA WA MWAKA NA TIMU YA DARAJA LA PILI CHINA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top