Kinda Eddie Nketiah (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 15 na 65 ikishinda 3-0 dhidi ya Fiorentina katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya Uwanja wa Bank of America, Charlotte, North Carolina, Marekani. Bao la tatu lilifungwa na chipukizi mwingine, Joe Willock dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment