Kinda Eddie Nketiah (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 15 na 65 ikishinda 3-0 dhidi ya Fiorentina katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya Uwanja wa Bank of America, Charlotte, North Carolina, Marekani. Bao la tatu lilifungwa na chipukizi mwingine, Joe Willock dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea host Man Utd in Women's FA Cup - see full fifth-round draw
-
Holders Chelsea will take on Manchester United in the fifth round of the
Women's FA Cup - a repeat of last year's final.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment