Kaimu Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Athumani Nyamlani (kulia) na Mkurugenzi wa Fountain Gate Academy Japhet Makau (kushoto) wakisaini mkataba wa ushirikiano kuwatunza wachezaji wa timu za taifa za vijana chini ya umri wa miaka 13 (U13), U15 na U17 katika shule ya Fountain Gate iliyopo mjini Dodoma, ambako watakua wakipatiwa elimu na mafunzo ya soka
African Games: "We are well-prepared for Senegal"- Ghana U20 coach Desmond
Offei
-
Black Satellites coach, Desmond Offei, insists his team remains focused
ahead of their semi-final clash against Senegal at the African Games. The
Ghana U2...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment