• HABARI MPYA

    Friday, July 19, 2019

    MATTHIJS DE LIGT AKABIDHIWA JEZI NAMBA 4 JUVENTUS

    Beki Mholanzi, Matthijs de Ligt akiwa ameshika jezi namba 4 ya Juventus baada ya kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na timu hiyo kwa dau la Pauni Milioni 67.8 kutoka Ajax ya kwao, Uholanzi kufuatia kushawishiwa na Cristiano Ronaldo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MATTHIJS DE LIGT AKABIDHIWA JEZI NAMBA 4 JUVENTUS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top