• HABARI MPYA

    Sunday, July 14, 2019

    BARCA YAMTAMBULISHA GRIEZMANN ASAINI MIAKA MITANO

    Rais wa Barcelona, Josep Maria Bartomeu (kulia) akimkabidhi jezi ya klabu hiyo mchezaji mpya, mshambuliaji Antoine Griezmann aliyesaini mkataba wa miaka mitano baada ya uhamisho wa Pauni Milioni 108 kutoka Atletico Madrid, zote za Hispania 
       
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCA YAMTAMBULISHA GRIEZMANN ASAINI MIAKA MITANO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top