Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kuisaidia timu hiyo baada ya kurejea kutoka Misri kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ambako walitolewa kwenye Raundi ya kwanza tu kufuatia kushika mkia kwenye kundi lao, C kutokana na kufungwa mechi zote tatu, 2-0 na Senegal, 3-2 na Kenya na 3-0 na Algeria.
Roger Goodell Explains NFL's Stance on Chiefs WR Rashee Rice's Future After
Car Crash
-
NFL Commissioner Roger Goodell explained Thursday that the league is
waiting for the legal process to play out in regards to Kansas City Chiefs
wide receiver…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment