Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kuisaidia timu hiyo baada ya kurejea kutoka Misri kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ambako walitolewa kwenye Raundi ya kwanza tu kufuatia kushika mkia kwenye kundi lao, C kutokana na kufungwa mechi zote tatu, 2-0 na Senegal, 3-2 na Kenya na 3-0 na Algeria.
Hearts thriving in the glorious anarchy of it all as Celtic lurch from one
disaster to another and Rangers try to cling on until January
-
Whatever transpires over the course of this afternoon, Hearts are
guaranteed to be sitting pretty at the top of the Scottish Premiership at
Christmas.
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment