• HABARI MPYA

    Friday, July 05, 2019

    TAIFA STARS WAKIWA NA MAKONDA BAADA YA KUREJEA KUTOKA AFCON

    Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kuisaidia timu hiyo baada ya kurejea kutoka Misri kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ambako walitolewa kwenye Raundi ya kwanza tu kufuatia kushika mkia kwenye kundi lao, C kutokana na kufungwa mechi zote tatu, 2-0 na Senegal, 3-2 na Kenya na 3-0 na Algeria.  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAIFA STARS WAKIWA NA MAKONDA BAADA YA KUREJEA KUTOKA AFCON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top