• HABARI MPYA

    Thursday, July 04, 2019

    LAMPARD ATAMBULISHWA RASMI KUWA KOCHA MPYA WA CHELSEA

    Gwiji wa klabu, Frank Lampard akiwa ameshika jezi ya hiyo baada ya Chelsea kutambulishwa kuwa kocha mpya wa The Blues kwa mkataba wa miaka mitatu leo mjini London akichukua nafasi ya Maurizio Sarri aliyehamia Juventus 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LAMPARD ATAMBULISHWA RASMI KUWA KOCHA MPYA WA CHELSEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top