Harry Kane akisherehekea baada ya kuifungia Tottenham bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Borussia Dortmund usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Bao la pili la Spurs lilifungwa na Son Heung-Min dakika ya 76, wakati la Borussia Dortmund lilifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Dinosaur mentality' - Antonio on Keane podcast criticism
-
West Ham striker Antonio responds to Roy Keane's criticism of current
players who speak on podcasts, calling it a 'dinosaur mentality'
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment