MSN wa hatari; Luis Suarez akishangilia na Neymar na Lionel Messi baada ya kupiga hat-trick katika ushindi wa Barcelona wa 6-1 dhidi ya Celta Vigo usiku huu Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Messi, Neymar na Ivan Rakitic, wakati la Celta Vigo lilifungwa na John Guidetti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal's injury crisis worsens as another star is forced off against
Sporting Lisbon in major blow ahead of title run-in
-
Arsenal have suffered another injury blow, with Mikel Arteta left sweating
on the fitness of a key man ahead of their crucial run-in this season.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment