Mshambuliji Abdul Ramadhani 'Mashine' (kushoto) na Twaha Hamidu 'Noriega' (kulia) wakifanya mazoezi katika kambi ya wiki ya Simba SC mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993. Simba iliweka kambi Nice kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF dhidi ya USM El Harrach ya Algeria. Simba ilikwenda kufungwa 2-0 Algeria na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kushinda 3-0 Dar es Salaam.
Was Anthony Joshua's win over Jake Paul scripted? We may never get the
complete story - this show fight was not much to salute: JEFF POWELL's
ringside report
-
JEFF POWELL AT KASEYA CENTER: Anthony Joshua did what he had to do, what he
needed to do, what he would have been ridiculed for not doing.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment