Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez (kushoto) akiichezea timu yake ya taifa, Chile jana ikitoa sare ya 1-1 na Colombia katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi kwa bara la Amerika Kusini mjini Santiago. Bao la Chile lilifungwa na Arturo Vidal wakati la Colombia lilifungwa na James Rodriguez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: Harry Brook makes a costly error, Australia star goes for
more than £2m as record IPL signing and worst shot of the series
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: England appear to be heading towards their second
best day of the Ashes so far. Australia suffered a blow before the start of
play.
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment