Beki Mbrazil, David Luiz (kulia) akimkanyaga mchezaji wa Argentina, Lucas Biglia jana katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Amerika Kusini alfajiri ya leo. Luiz alitolewa kwa kadi nyekundu na timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la wenyeji Argentina likifungwa na Ezequiel Lavezzi wakati la Brazil limefungwa na Lucas Lima PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Against Liverpool it's a good idea to defend! Thomas Frank hits back at
critics who say he's obsessed with opponents
-
The Spurs boss hit back at critics who claim his team are more concerned
with stopping opponents than imposing their own style and warned it might
be a goo...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment